Friday, April 17, 2020

Marekani yaripoti vifo vya watu 4,491 ndani ya saa 24

Coronavirus: Marekani na Korea Kusini waahirisha mazoezi ya pamoja ...
                                                                     

- Idadi hiyo ya vifo ni kubwa zaidi kutangazwa ndani ya saa 24 na sasa vifo nchini humo vimefikia 32,917 kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu John Hopkins

- Hata hivyo, vifo hivyo vinaweza kuwa vinajumuisha watu waliofariki wakihusishwa kuwa na #COVID19 na Madaktari kujiridhisha hivyo lakini bila mgonjwa kupimwa maabara

- Awali, Marekani ilikuwa ikitangaza idadi ya vifo vya wagonjwa waliopimwa maabara na kuthibitika kuwa na Ugonjwa huu

#COVID19_Updates

No comments:

Post a Comment